Kwaresima Siku ya 9: Huruma kwa Maskini na Wito wa Toba
Amani na Salama Mpendwa, Karibu Leo jifunze kufunga ubinafsi , watumikie wasaidie, kujitoa kwa wengine. Badala ya kula tu kidogo, tumia muda wako kusaidia mtu anayehitaji, kama jirani mzee au mgonjwa. Tafakari kuachana na kitu fulani hadi Pasaka, iwe sehemu ya kufunga kwako. Soma Biblia kwa kina, hasa Luka 15 juu ya huruma ya Mungu. Fanya Lectio Divina: Tafakari mstari mmoja, ongea na Mungu, na…













