Mazuu - Wasanii hawana ushirikiano.
Mazuu – Wasanii hawana ushirikiano.
Producer Mazuu kutoka Mazuu Records amesema wasanii wa hapa nyumbani hawana ushirikiano na kupeana kazi ambazo zitawatoa kisanii.
Mazuu ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, na kueleza kwamba wasanii hufanya hivyo wakihofia kuzidiana kwenye sanaa.
“Kuhusiana na wao wenyewe hawako ‘well organized’, wote wanakuwa kila mtu ana rock kivyake, yani haiwezekani…
View On WordPress












