Katika jarida la kiroho liitwalo 'Because' la huko Uingereza nilinukuliwa na James Henderson, mwandishi wa jarida hilo, anayesimulia jinsi alivyoipoteza dini yake huko Uskochi, katika ukurasa wa 7, kuhusiana na umuhimu wa maneno katika ujenzi wa maisha na dunia yetu. Asanteni sana 'Because' na James Henderson, kwa kunitambua katika jarida lenu hili zuri sana la mwaka 2019! Hakika maneno tunayoyafikiria na kuyaongea yana nguvu kubwa sana ya kuibadilisha dunia yetu. Mungu awabariki sana. Lipate jarida hili kwa kunitumia anuani yako ya baruapepe hapa. Au tembelea tovuti ya jarida hilo: www.because.uk.com kupata taarifa zake. Enock Maregesi, mwandishi wa Kolonia Santita #because #jameshenderson #enockmaregesi #wordsofwisdom #words https://www.instagram.com/p/CKBKB9OHrb6/?igshid=12gbw1plgskvv








