Katibu Mkuu wa Coastal Union, Omar A.S Ayoub akimtambulisha kocha Yusuf Chipo ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu yetu. Comment LikePage Share #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CicRdLVKx1m/?igshid=NGJjMDIxMWI=
seen from United States
seen from United States

seen from Russia
seen from Malaysia
seen from Germany

seen from United States

seen from Netherlands

seen from United States

seen from United States
seen from Netherlands
seen from United Kingdom

seen from Malaysia
seen from United States

seen from United States
seen from United Kingdom
seen from Saudi Arabia
seen from Netherlands
seen from Germany

seen from Türkiye
seen from Türkiye
Katibu Mkuu wa Coastal Union, Omar A.S Ayoub akimtambulisha kocha Yusuf Chipo ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu yetu. Comment LikePage Share #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CicRdLVKx1m/?igshid=NGJjMDIxMWI=

Anya is live and ready to show you everything. Watch her strip, dance, and perform exclusive shows just for you. Interact in real-time and make your fantasies come true.
Free to watch • No registration required • HD streaming
TAKWAMU: Ilikuwa mwaka 2014 kwa mara ya mwisho mchezaji kutoka ligi kuu Tanzania bara kufunga hart trik katika michuano ya CAF CL, Alikuwa Mrisho Halfan Ngasa mwaka 2014 alipokuwa Yanga akiwafunga Comorosine ya Comoro, kabla ya jana Fiston Kalala Mayele kufunga tena hart trik. Comment LikePage Share #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CiWoto1KjFg/?igshid=NGJjMDIxMWI=
TAKWAMU: Ilikuwa mwaka 2014 kwa mara ya mwisho mchezaji kutoka ligi kuu Tanzania bara kufunga hart trik katika michuano ya CAF CL, Alikuwa Mrisho Halfan Ngasa mwaka 2014 alipokuwa Yanga akiwafunga Comorosine ya Comoro, kabla ya jana Fiston Kalala Mayele kufunga tena hart trik. Comment LikePage Share #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CiWooCPjNUl/?igshid=NGJjMDIxMWI=
➪Ni kawaida sana Makocha wazawa Kukumbana na Kejeli na Dharau kutoka kwa watu weusi wenzao ➪Ambao wanaamini Kocha lazima awe mweupe au Mzungu ➪Kinacho mkuta Juma Mgunda kilimluta Aliou Cissé Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal 🇸🇳 ➪Leo anakombe la AFCON na Kafudhu World Cup Je Kwa mtazamo wako Kocha Mgunda Amefanikiwa kuibadilisha simba sc ? Comment LikePage Share #BABADUPDATES (at Tanga, Tanzania) https://www.instagram.com/p/CiWlLm_q07p/?igshid=NGJjMDIxMWI=
➪Ni kawaida sana Makocha wazawa Kukumbana na Kejeli na Dharau kutoka kwa watu weusi wenzao ➪Ambao wanaamini Kocha lazima awe mweupe au Mzungu ➪Kinacho mkuta Juma Mgunda kilimluta Aliou Cissé Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal 🇸🇳 ➪Leo anakombe la AFCON na Kafudhu World Cup Je Kwa mtazamo wako Kocha Mgunda Amefanikiwa kuibadilisha simba sc ? Comment LikePage Share #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CiWlETijpHT/?igshid=NGJjMDIxMWI=

Anya is live and ready to show you everything. Watch her strip, dance, and perform exclusive shows just for you. Interact in real-time and make your fantasies come true.
Free to watch • No registration required • HD streaming
#FAHAMU Mara ya mwisho Malkia Elizabeth II kuonekana hadharani kwa mwaka huu kabla ya umauti kumkuta ilikuwa ni Septemba 6 ambapo alikutana na Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Liz Truss. Mkutano huo ulifanyika nyumbani kwa Malkia Elizabeth II nchini Scotland, ambapo Malkia alipiga picha peke yake kabla ya kukutana na Waziri Mkuu, na pia alipigwa picha baada ya kukutana na Waziri Mkuu wakati wanasalimiana. Picha hizo zilipigwa na mwandishi wa habari, Jane Barlow ambaye alichaguliwa kwa ajili ya kupiga picha katika mkutano huo, na hizo ndiyo picha za mwisho za Malkia. Comment LikePage Share #LizTruss #MalkiaElizabeth #BABADUPDATES (at London, United Kingdom) https://www.instagram.com/p/CiUfSyeqIM9/?igshid=NGJjMDIxMWI=
NIPO TAYARI KUANZA KAZI - MGUMBA. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Omary Mgumba amesema yupo tayari kuanza kazi baada ya kuhitimisha ziara ya kujitambulisha kwa Wilaya na Halmashauri za mkoa wa Tanga. Mgumba ameyasema hayo alhamisi Septemba 8, 2022 wakati akihutubia Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani la Jiji la Tanga uliokuwa na lengo la kujitambulisha kwa Madiwani na Watendaji wa Halmashauri ya Jiji, ikiwa ni kituo cha mwisho cha ziara yake. Akihutubia mkutano huo, Mgumba amelipongeza Jiji la Tanga kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato na kuongoza majiji mengine hapa nchini katika mwaka wa fedha 2021/2022 kwa kukusanya mapato kwa asilimia 113 ya lengo la mwaka. Mgumba amesema dhana ya ugatuaji madaraka inataka Halmashauri kujikusanyia mapato na kutoka kwenye utegemezi wa kusubiri fedha kutoka Serikali Kuu. Amesema Halmashauri zinapaswa kuondoka kwenye mazoea ya ujenzi wa madarasa, vyoo na vituo vya afya pekee, na kuanza kufikiri kuwa na miradi ya kiuchumi itakayo kuwa chanzo cha mapato badala ya kusubiri kukusanya ushuru pekee kwa wananchi. "Mapato ni kipaumbele cha pili baada ya usalama. Na mapato haya yaende kutatua shida za wananchi. Mtu asijaribu kucheza na fedha hizi, Mheshimiwa Rais amekwisha sema, ukitaka kujua rangi yake, basi chezea fedha hizi." Amesema Mgumba. Mheshimiwa Mgumba ambaye aliongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, aliwataka Madiwani kuhakikisha kunakuwa na msawazo/mtawanyo wa fedha za utekelezaji wa miradi ili kila kata ipate mradi kwa maendeleo ya wananchi, badala ya miradi mingi na mikubwa kuwekwa katika kata moja, huku akishauri utengaji wa fedha uwe wa kutosha kukamilisha mradi ili kuwezesha huduma kutolewa kwa wananchi. Awali, akiwasilisha taarifa ya Jiji la Tanga kwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Jiji Ndg. Sipora Liana amesema kwa mwaka wa fedha 2021/2022 unaoishia mwezi Juni 2022, Halmashauri imefanikiwa kupeleka katika miradi mbalimbali ya maendeleo zaidi ya shillingi billion 6.6 ikiwa ni katika utekelezaji wa utoaji wa asilimia 60 ya mapato ya ndani. Comment Like Follow @babadailysuperstar89.c.e.o #BABADUPDATES https://www.instagram.com/p/CiRsZSAqr6_/?igshid=NGJjMDIxMWI=
Kama unazura sana mitaa ya jiji la tanga leo niambie hii picha imepigwa mitaa ya wapi apa mjini ? Comment LikePage Share #BABADUPDATES (at Maua Inn) https://www.instagram.com/p/CiNacjtqfAq/?igshid=NGJjMDIxMWI=